BUKOBA SPORTS

Thursday, June 21, 2012

MANCHESTER UNITED WAMTUPIA JICHO JAMES RODRIGUEZ KWA AJILI YA KUMBADIRISHA NANI

MASHETANI wekundu, wanajiandaa kumsajili nyota wa Colombia kwa Pauni milioni, James Rodriguez. Mshambuliaji huyo wa Pembeni mwenye miaka 20, Aliwavutia wafuatiliaji wa vipaji United tangu alipomwaga wino wa kuitumikia Klabu ya Atletico Banfield ya Argentina miaka miwili iliyopita.

No comments:

Post a Comment