BUKOBA SPORTS

Tuesday, June 12, 2012

MARCIO MAXIMO KUTUA NCHINI LEO HII JIONI "KUINOA YANGA"

KOCHA Marcio Maximo anatarajiwa kutua nchini leo Jumanne majira ya saa 9 Alasiri kufanya mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya kuanza kuinoa Yanga.
Maximo, raia wa Brazil, kocha wa zamani wa Taifa Stars, anatarajiwa kutua nchini akiwa kwenye ndege ya Emirates linalomilikiwa na Falme za Kiarabu, ambayo pia inaidhamini Klabu ya Arsenal ya England.

Habari za uhakika kutoka ndani ya Yanga zimeeleza kuwa tayari klabu hiyo imetuma tiketi ya ndege kwa kocha huyo kutoka Brazil kupitia Dubai hadi Dar na amethibitisha kuipokea.
“Tayari Maximo ana tiketi mkononi na amethibitisha anakuja.

No comments:

Post a Comment