Spain wanafuatiwa na Uruguay ambao wamewapiku Germany waliotupwa nafasi ya 3.
Brazil, England, Argentina na Denmark zote zimepanda nafasi moja kila mmoja.
Kwa Bara la Afrika, Ivory Coast ndio iko juu ikishikilia nafasi ya 16 baada ya kuteleza nafasi moja na inafuatia Ghana walio nafasi ya 25, Algeria ni wa 32 na Libya wapo 42.
Mabingwa wa Afrika, Zambia, wao wapo nafasi ya 43, baada ya kuporomoka nafasi 3.
Listi nyingine ya Ubora itatolewa Julai 4.
No comments:
Post a Comment