Dzeko
Milan wamepeleka maombi ya kutaka kumsajili Mbosnia huyo ambaye amekuwa akipata nafasi finyu sana za kucheza katika kikosi cha Mancini.
Inasemekana Timu hizo zote mbili zimeshakutana na maongezi yanafanyika kwa ajili ya kukubaliana mkataba kuhusiana na uhamisho wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26.
No comments:
Post a Comment