Van Persie
Man City wanaamini uhamaji huo wa Adebayor utaweka nafasi na uwezekano mkubwa wa kuweza kumsajili nahodha wa Arsenal Robin van Persie.
Van Persie ambaye amegoma kusaini mkataba mpya Arsenal na inasemekana anataka kwenda Man City, lakini Mancini anajua ya kuwa kamwe Van Persie hawezi kwenda City kama Adebayor atabakia klabuni hapo kwani wawili hao haziivi kabisaaa.
No comments:
Post a Comment