BUKOBA SPORTS

Friday, July 27, 2012

SIMBA ILIVYOKEJELIWA BAADA YA KUTOLEWA NA AZAM FC KWENYE KAGAME

BOCCO amevamia Msimbazi lakini sio Mnyama ah!..ah.., wala sio wale haramu wa Nigeria ni huyu wa Lambalamba John Bocco wa Azam Fc!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama unasumbuliwa na maumivi yoyote BOCCOLYN ndio tiba sahihi, pata dozi kwa maendeleo ya afya yako...

Kutoka kwa sports lady ..Dina Ismail

No comments:

Post a Comment