Msimu uliopita, uliomalizika Mwezi Mei, ukiwa Msimu wake wa kwanza na Juventus, Conte, Miaka 43, aliiongoza Klabu hiyo kutwaa Ubingwa wa Serie A bila kufungwa hata Mechi moja.
WASIFU wa Antonio Conte
•Kuanzia Mwaka 1991, aliichezea Juventus Mechi 400 za Ligi
•Akiwa na Juve kama Kiungo, alishinda Ligi mara 5 na Kombe la Ulaya
•Conte aliichezea Italy mara 35
•Mbali ya Juventus na Siena, Conte pia aliwahi kuwa Kocha wa Arezzo, Bari na Atalanta.
No comments:
Post a Comment