Wiki iliyopita wakicheza kwao Uwanja wa Emirates, Arsenal walitoka sare 0-0 na Sunderland katika Mechi yao ya kwanza ya Ligi Msimu huu.
Ni mapema mno kuwaponda Arsenal na kuwatupa nje ya kinyang’anyiro cha Ubingwa lakini inabidi wajinoe kuondoa ubutu wao wa kufunga Mabao ambayo wanastahili kwa jinsi
wanavyotawala Mechi.
Mechi yao inayofuata ni Anfield na Liverpool Jumapili Septemba 2.
VIKOSI:
Arsenal: Mannone, Jenkinson, Vermaelen, Mertesacker, Gibbs, Podolski, Diaby, Arteta, Cazorla, Gervinho, Giroud
Akiba: Martinez, Santos, Walcott, Oxlade-Chamberlain, Ramsey, Djourou, Coquelin
Stoke City: Begovic, Wilkinson, Huth, Shawcross, Wilson, Pennant, Cameron, Whelan, Kightly, Walters, Crouch
Akiba: Sorensen, Palacios, Jones, Upson, Delap, Shotton, Jerome.
Refa: Lee Mason
No comments:
Post a Comment