Aguero, 24, hajacheza mechi yoyote ya ligi kuu England tangu acheze ile ya kwanza ya Southampton na kuumia katika dakika ya 14 baada ya kuvaana na beki Nathaniel Clyne.
Kocha wa City, Roberto Mancini alisema anatumaini Aguero atakuwa fiti, ingawa hana uhakika kama ataweza kucheza katika mechi ya Ligi kuu England dhidi ya Stoke Jumamosi.
No comments:
Post a Comment