BUKOBA SPORTS

Saturday, September 1, 2012

KLABU YA REAL MADRID YAMCHUKUA ESSIEN KWA MKOPO.

 KLABU ya Real Madrid ya Hispania imetangaza kufikia makubaliano ya kumnyakuwa kiungo wa Chelsea Michael Essien kwa mkopo katika kipindi chote cha msimu huu. Essien mwenye miaka ambaye alijiunga na Chelsea mwaka 2005 akitokea klabu ya Olympique Lyon ya Ufaransa anatua Madrid na kukutana na Jose mourinho ambaye amewahi pia kuinoa klabu hiyo ya Uingereza. Mchezaji huyop anayecheza nafasi ya kiungo mkabaji akiwa na Chelsea amefanikiwa kushinda mataji mawili ya Ligi Kuu nchini humo, mataji manne ya Kombe la FA na moja la Ligi ya Mabingwa Ulaya. Essien hakuwemo katika kikosi cha Chelsea ambacho kilichabangwa mabao 4-1 na Atletico Madrid katika mchezo wa Super Cup uliochezwa jijini Monaco, Ufaransa jana usiku.
KUHUSU MICHAEL ESSIEN
Michael Kojo Essien is a Ghanaian footballer who plays for Real Madrid, on a season-long loan from Chelsea and the Ghana national football team.
Michael Essien was born on 3 December 1982 in Accra, Ghana and plays for the Ghana national team and Chelsea as a midfielder. He began his professional career playing for Liberty, the local club.
When Essien was playing for Bastia, he was often compared with Vieira because of the rough manner of tackle. Michael soon became the leader of the team and cleared the way for the UEFA Cup for his team, netting six goals in the French Ligue 1.
In 2003, Essien signed for Lyon. During two seasons with Lyon, the footballer won the French Championship twice. Besides, in 2005 he was chosen the best player (5 goals in 10 games of the Champions League). Later on, in 2005, Michael joined Chelsea and made his debut in the match against Arsenal. In 2006-07, he was by all rights awarded the Chelsea F.C. Player of the Year. In 2007, Essien signed a new five year contract.
Michael Essien is the most expensive African player. He is the most titled footballer of the Ghana national team in spite of his age. Michael is good at all defensive positions; he is the national team captain.
KUZALIWA: December 3, 1982 (age 29), Accra
KIMO: 1.78 m
NAFASI: Defender, Midfielder

No comments:

Post a Comment