BUKOBA SPORTS

Saturday, September 1, 2012

UEFA SUPER CUP: ATLETICO MADRID 4 CHELSEA 1, FALCAO APIGA HAT-TRICK!

Chelsea 1 Atletico Madrid 4: Falcao runs riot as Di Matteo's Blues are crushed LEO huko Monaco Stade Louis II, Mabingwa wa EUROPA LIGI, Atletico Madrid, wamewachapa Mabingwa wa Ulaya, Chelsea, kwa bao 4-1, Bao 3 zikiwa toka kwa Straika wao hatari Falcao, na kutwaa UEFA SUPER CUP.
Katika Mechi hii, Atletico Madrid walionyesha wako hatari na wepesi sana wakinasa mpira na kuanza mashambulizi ya haraka,'kaunta ataki', ambazo kila mara zilionyesha udhaifu mkubwa wa Difensi ya Chelsea iliyokosa umoja na mbinu za kuwakabili Atletico.
Leo Mtu 4 za Difensi ya Chelsea walikuwa ni Ivanovic, Cahill, Luiz na Cole.Chelsea wakioneka wamechoka hawana  hili wala lile....kwisha .
Hat-trick here: Falcao celebrates grabbing his third goal as Athletico Madrid stun Chelsea
Hat-trick ya Falcao ilisaidia kuwanyamazisha na kuwachosha Chelsea na Athletico Madrid kuibuka na ushindi wa goli 4-1 dhidi ya Chelsea jana usiku.
Gloss: Miranda adds a fourth for the Spanish side as Chelsea fall apart again
Miranda akitupia goli la nne kwenye nyav.
MAGOLI
Atletico
Falcao dk(6, 19 na 45) - Miranda dk(60)
Chelsea
Gary Cahill dk(75)

No comments:

Post a Comment