BUKOBA SPORTS

Tuesday, September 11, 2012

SIMBA WATWAA KOMBE LA NGAO YA JAMII DHIDI YA AZAM FC MABAO 3-2 MCHEZO ULIOCHEZWA JANA

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Mkongoro Mahanga akimkabidhi Ngao ya Hisani nahodha wa Simba, Juma Kaseja baada ya kuifunga Azam FC 3-2 katika mchezo wa fainali uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam


Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia mchezo kati ya timu hiyo na Azam FC, uliochezwa Uwanja wa Taifa kuwania Ngao ya Hisani, Dar es Salaam jioni hii.(PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Ramadhan Chambo 'Redondo' wa Simba (kulia), akiwania mpira na Abdulhalim Humud wa Azam FC.
Mashabiki wa Simba

No comments:

Post a Comment