Mashauzi wakishambulia
Tamasha la muziki Tanzania, (Tanzania Live Music Festival) lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam, likishirikisha bendi zaidi ya saba na wasanii wengine mbalimbali, lilifana ingawa halikuhudhuriwa na watazamaji wengi.
Bendi za Sikinde, Msondo, B. Band, Mashujaa Band, Akudo Impact, FM Academia, Mashauzi Classic na Wazee Sugu zilitumbuiza kwa wakati tofauti jukwaani na kukonga nyoyo za mashabiki wachache waliojitokeza.
FM Academia jukwaani
Ngwasuma
Wanenguaji wa FM
Mashauzi Classic
MC wa jana Ben Kinyaiya na shabiki wake
Mashabiki kwa raha zao
Mashabiki kwa raha zao
Ktime na Wolper
Tamasha la muziki Tanzania, (Tanzania Live Music Festival) lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam, likishirikisha bendi zaidi ya saba na wasanii wengine mbalimbali, lilifana ingawa halikuhudhuriwa na watazamaji wengi.
Bendi za Sikinde, Msondo, B. Band, Mashujaa Band, Akudo Impact, FM Academia, Mashauzi Classic na Wazee Sugu zilitumbuiza kwa wakati tofauti jukwaani na kukonga nyoyo za mashabiki wachache waliojitokeza.
FM Academia jukwaani
Ngwasuma
Wanenguaji wa FM
Mashauzi Classic
MC wa jana Ben Kinyaiya na shabiki wake
Mashabiki kwa raha zao
Mashabiki kwa raha zao
Ktime na Wolper
No comments:
Post a Comment