BUKOBA SPORTS

Wednesday, September 19, 2012

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: REAL MADRID 3 MANCHESTER CITY 2

High maintenance: Cristiano Ronaldo proved
Bao la Dakika ya 90 la Cristiano Ronaldo limewapa ushindi Real Madrid wa bao 3-2 dhidi ya Manchester City baada ya kutoka nyuma mara mbili na kusawazisha huku bao la pili wakifungwa katika Dakika ya 85 kwa frikiki ya Kolarov iliyombabatiza Xabi Alonso na kumhadaa Kipa Casillas.

Ronaldo akiipatia ushindi Real Madrid dhidi ya Man city Jana usiku
....mmeona sisi ndiyo sisi msitupimie...mambo ya power slide.....

 Mourinho na kundi lake baada ya ushindi wao wa jana wa 3-2 baada ya Ronaldo kufunga dk ya 90

Da....wamerudisha ......basi bwana ushindi wao....
Kinyume na Mchezo ulivyokwenda wakiwa wamezidiwa sana na ni uhodari wa Kipa Joe Hart ndio uliwaweka hai, Man City walitangulia kufunga katika Dakika ya 68 kwa bao la Dzeko na Real kurudisha Dakika ya 76 kwa bao la Marcelo.

Marcelo akimpepea Ronaldo na kumpongeza kwa umaliziaji mzuri jana usiku
VIKOSI

Real Madrid: Casillas, Varane, Pepe, Marcelo, Arbeloa, Khedira, Alonso, Essien, Di María, Ronaldo, Higuaín

Akiba: Adan, Sergio Ramos, Fabio Coentrao, Kaka, Benzema, Ozil, Modric.
Manchester City: Hart; Maicon, Kompany, Nastasic, Clichy; Javi Garcia, Barry; Nasri, Yaya Toure, Silva; Tevez.
Akiba: Pantilimon, Lescott, Zabaleta, Kolarov, Rodwell, Aguero, Dzeko
Refa: Damir Skomina (Slovenia)
  
MATOKEO MECHI ZOTE ZA JANA USIKU
  • AC Milan 0 - 0 Anderlecht
  • Borussia Dortmund 1 - 0 Ajax
  • Din Zagreb 0 - 2 FC Porto 
  • Malaga 3 - 0 Zenit St P'sbg
  • Montpellier 1 - 2 Arsenal
  • Olympiakos 1 - 2 Schalke 04
  • Paris SG 4 - 1 Dynamo Kiev
  • Real Madrid 3 - 2 Man City 




MECHI ZIJAZO
Jumanne Oktoba 2
Juventus - FC Shakhtar Donetsk
FC Nordsjælland - Chelsea FC
Valencia CF - LOSC Lille
FC BATE Borisov - FC Bayern München
SL Benfica - FC Barcelona
FC Spartak Moskva - Celtic FC
CFR 1907 Cluj - Manchester United FC
Galatasaray A.S. - SC Braga

Jumatano Oktoba 3
FC Dynamo Kyiv - GNK Dinamo
FC Porto - Paris Saint-Germain FC
FC Schalke 04 - Montpellier Hérault SC
Arsenal FC - Olympiacos FC
RSC Anderlecht - Málaga CF
FC Zenit St. Petersburg - AC Milan
Manchester City FC - Borussia Dortmund
AFC Ajax - Real Madrid CF

No comments:

Post a Comment