Shindano la EBSS usiku huu limefikia patamu baada ya washiriki 3 walio ingia katika fainali hizo kutoka na sasa kubakia washiriki wawili ambao ni Walter Chilambo na Salama Yusufu mwakilishi pekee kutoka kisiwani Zanzibar. Na Hatimaye WALTER kuibuka kidedea.
Washiriki waliotoka usiku huu na kuachia kitita chaa Shilingi Milioni 50, kikiwaniwa na Walter na Salama ni pamoja na Nsami Nkwabi, Nshoma Ng’hangasamala Wababa Mtuka.
Shindano la EBSS linafikia tamati yake usku huu katika ukumbi wa Diamond Jublee linapoendea kufanyika.
Kama kawaida nao hutoa burudani ....Chief Jaji na mratibu wa Shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS), Mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Productions Limited, Ritha Poulsen a.k.a Madam Ritha, akifurahia jambo wakati washiriki wakitumbuiza jukwaani. Kulia ni Jaji mwingine Master Jay akionekana kama kukera na kicheko cha Madam Ritha.
Mashabiki na wapenzi wa shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS) waliofurika katika ukumbi wa Diamond Jubelee wakilipuka kwa shangwe baada ya mmoja wa washiriki ambao wanamkubali kumaliza kufanya show yake.
MC’s wa Show hii ya leo ni kijana mtanashati Caesar Daniel na mwana dada mrembo Vanessa Mdee ndio wanasongesha show nzima ya leo.
Huyu ni Salama Jabir na hapa ni katika yale ya Look ndani ya fainali za EBSS 2012
Washiriki wa Washindano la EBSS 2012 ambao wamefanikiwa kuingia fainali ya shindano hilo wakiwa jukwaani usiku huu wakati wa kuanza kwa fainali hizo. Ni ndani ya Ukumbi wa Diamond Jijini Dar es Salaam. Mshindi kuondoka na kitita cha Shilingi Milioni 50 za kitanzania.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya simu za Mikononi ya Zantel, Awaichi Mawalla akiwa katika mahojiano na mmoja wa ma MC wa sho ya leo Caesar Daniel, wakati akingia katika zulia jekundu la Fainali za EBSS nadani ya Diamond Jubilee.
Shindano la kutafuta vipaji la EBSS 2012 linataraji kufanyika usiku huu kuanzia majira ya saa 3:00 na kwa mujibu wa waandaaji litakuwa likionekana LIVE kupitia Luninga zenu hasa kupitia ITV. Father Kidevu Blog nayo itawapa yale yanayojiri katika tukio hilo.
Hawa ndio washindani je nani ataibuka mshindi na kuondoka na Milioni 50 usiku huu. Fuatalia zaidi tutakujuza.
Washiriki waliotoka usiku huu na kuachia kitita chaa Shilingi Milioni 50, kikiwaniwa na Walter na Salama ni pamoja na Nsami Nkwabi, Nshoma Ng’hangasamala Wababa Mtuka.
Shindano la EBSS linafikia tamati yake usku huu katika ukumbi wa Diamond Jublee linapoendea kufanyika.

Kama kawaida nao hutoa burudani ....Chief Jaji na mratibu wa Shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS), Mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Productions Limited, Ritha Poulsen a.k.a Madam Ritha, akifurahia jambo wakati washiriki wakitumbuiza jukwaani. Kulia ni Jaji mwingine Master Jay akionekana kama kukera na kicheko cha Madam Ritha.

Mashabiki na wapenzi wa shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS) waliofurika katika ukumbi wa Diamond Jubelee wakilipuka kwa shangwe baada ya mmoja wa washiriki ambao wanamkubali kumaliza kufanya show yake.


Huyu ni Salama Jabir na hapa ni katika yale ya Look ndani ya fainali za EBSS 2012

Washiriki wa Washindano la EBSS 2012 ambao wamefanikiwa kuingia fainali ya shindano hilo wakiwa jukwaani usiku huu wakati wa kuanza kwa fainali hizo. Ni ndani ya Ukumbi wa Diamond Jijini Dar es Salaam. Mshindi kuondoka na kitita cha Shilingi Milioni 50 za kitanzania.


Shindano la kutafuta vipaji la EBSS 2012 linataraji kufanyika usiku huu kuanzia majira ya saa 3:00 na kwa mujibu wa waandaaji litakuwa likionekana LIVE kupitia Luninga zenu hasa kupitia ITV. Father Kidevu Blog nayo itawapa yale yanayojiri katika tukio hilo.

Hawa ndio washindani je nani ataibuka mshindi na kuondoka na Milioni 50 usiku huu. Fuatalia zaidi tutakujuza.
No comments:
Post a Comment