
Chilambo ametwaa ubingwa huo baada ya kumwangusha mwana dada kutoka Zanzibar ambaye alikuwa ni mshindani wake wa karibu katika kinyang’anyoro hicho Salma Yusufu.
Pichani ni Walter akiwa anakabidhiwa kitita chake cha milioni 50 mara baada ya kuibuka mshinidi wa EBSS usiku wa kuamkia leo













No comments:
Post a Comment