BUKOBA SPORTS

Saturday, November 10, 2012

WALTER CHILAMBO AIBUKA MSHINDI WA EBSS 2012...!!!

WALTER CHILAMBO ndiye mshindi wa Shindano la Epic Bongo Star Search (EBSS) 2012. Kufuatia matokeo hayo Kalambo amejinyakulia kitita cha Shilingi Milioni 50 za Kitanzania kutoka kwa wadhamini wakuu wa shindano hilo kampuni ya Simu za Mkononi ya Zantel.
Chilambo ametwaa ubingwa huo baada ya kumwangusha mwana dada kutoka Zanzibar ambaye alikuwa ni mshindani wake wa karibu katika kinyang’anyoro hicho Salma Yusufu.
Pichani ni Walter akiwa anakabidhiwa kitita chake cha milioni 50 mara baada ya kuibuka mshinidi wa EBSS usiku wa kuamkia leo
Akitajwa mshindi Walter Chilambo


Salma Yusuph na Walter Chilambo







Kama kawaida nao hutoa burudani ....Chief Jaji na mratibu wa Shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS), Mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Productions Limited, Ritha Poulsen a.k.a Madam Ritha, akifurahia jambo wakati washiriki wakitumbuiza jukwaani. Kulia ni Jaji mwingine Master Jay akionekana kama kukera na kicheko cha Madam Ritha.

No comments:

Post a Comment