BUKOBA SPORTS

Wednesday, November 7, 2012

JK AMJULIA HALI SHEIKH ALIYEMWAGIWA TINDIKALI ZANZIBAR


Rais Jakaya Kikwete akimjulia hali na kumpa pole Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Sheikh Fadhili Soraga ambaye amelazwa katika chumba cha dharura katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kufuatia majeraha ya usoni na kifuani yaliyotokana na kurushiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazoezi katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe mjini Unguja juzi. Rais ambaye amerejea jana Jumanne, akitokea katika ziara ya kikazi ya takriban juma moja katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara na Singida, amemtakia Sheikh Soraga nafuu ya haraka. (PICHA NA IKULU)

No comments:

Post a Comment