BUKOBA SPORTS

Sunday, December 9, 2012

ENGLISH PREMIER LEAGUE: EVERTON 2 vs 1 TOTTENHAM SPURS, JELAVIC NA PIENAAR WAIUA SPURS DAKIKA ZA MWISHO ZA LALA SALAMA!

EVERTON 2 SPURS 1
Goli mbili za Steven Pienaar na Nikica Jelavic katika Dakika za majeruhi zimewapa ushindi Everton wa Bao 2-1 dhidi ya Tottenham Uwanjani Goodison Park.
Tottenham walipata Bao lao katika Dakika ya 76 baada ya shuti la Clint Dempsey kumbabatiza Beki na kutinga.
Ushindi huu umewafanya Everton wapande na kukamata nafasi ya 4 kwenye Msimamo wa Ligi.
Late show: Everton's Nikica Jelavic (centre) celebrates scoring his side's winning goal agaisnt Tottenham
Nikica Jelavic (katikati) akifurahia na wenzake baada ya kuifunga Tottenham

VIKOSI
Everton: Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, Mirallas (Naismith 46), Gibson, Osman (Vellios 81), Pienaar, Fellaini, Jelavic.
Subs not used: Mucha, Heitinga, Oviedo, Hitzlsperger, Barkley
Goals: Pienaar 90, Jelavic 90
Booked: Baines, Osman
Tottenham: Lloris, Walker, Gallas, Caulker, Vertonghen, Lennon (Huddlestone 71), Dempsey, Dembele (Sigurdsson 77), Sandro, Adebayor, Defoe.
Subs not used: Friedel Naughton, Falque, Livermore, Townsend.
Goal: Dempsey 76
Booked: Vertonghen, Defoe
Referee: Lee Mason (Lancashire)
Attendance: 36,494
In front: Clint Dempsey's shot takes a deflection off Sylvain Distin before looping into the net
Clint Dempsey akitupia goli dakika ya 76
False dawn: Tottenham celebrate taking the lead before Everton hit back in stunning style
wachezaji wa Tottenham wakishangilia kwa kumpongeza Dempsey
Level pegging: Everton's Steven Pienaar scores the equaliser with just minutes remaining
Steven Pienaar akifunga goli dakika za mwishoni za lala salama
Tussle: Seamus Coleman is brought down by Spurs player Jan Vertonghen
Seamus Coleman akimkwatua chini Jan Vertonghen
Out of luck: Everton's Kevin Mirallas attempts to break the deadlock at Goodison Park
Kevin Mirallas akizuia mkwaju uwanjani hapo Goodison Park
Eyes on the prize: Sandro and Marouane Fellaini fight for the ball as Everton take on TottenhamSandro na Marouane Fellaini wakikabana leo.

RATIBA MECHI ZIJAZO
Jumatatu 10 Desemba 2012
[SAA 5 Usiku]
Fulham v Newcastle
Jumanne 11 Desemba 2012
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Sunderland v Reading

Jumamosi 15 Desemba 2012
[SAA 9 Dak 45 Mchana]
Newcastle v Man City
[SAA 12 Jioni]
Liverpool V Aston Villa
Man United V Sunderland
Norwich v Wigan
QPR v Fulham
Stoke v Everton

Jumapili 16 Desemba 2012
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Tottenham v  Swansea
[SAA 1 Usiku]
West Brom v West Ham
Jumatatu 17 Desemba 2012
[SAA 5 Usiku]
Reading v Arsenal

No comments:

Post a Comment