Real wao walipata bao lao la kwanza la kusawazisha kupitia mchezaji wao kupitia Karim Benzem katika Dakika ya 12 na dakika ya 45 kabla ya mapumziko. Kipindi cha pili nacho kilikuwa cha kukata na shoka kwani timu zote zilijipanga upya baada ya kumaliza kipindi cha kwanza zikiwa na sare ya goli 2-2.
Dakika ya 72 mchezaji Metus Ozil akaipatia tena goli timu yake kwa shuti kali lililozama hadi nyavuni.
Ushindi huu wa leo umewafanya Real wapande washike nafasi ya 3 wakiwa na Pointi 32 kwa Mechi 15 wakiwa Pointi 8 nyuma ya Mahasimu zao Barcelona ambao wana pointi 40 na wanacheza leo jumapili mchezo wao wa 15 La Liga.
Real Madrid midfielder Mesut Ozil (kushoto) akikatiza
Ozil akishamgilia baada ya kutupia
Valladolid's Manucho (kushoto) akitupia kwa kichwa.
Unanikumbuka? mchezaji wa zamani wa Man United Manucho akitamba baada ya kuziona nyavu mara 2
Real Madrid's Cristiano Ronaldo
Match statistics:
Real Valladolid
Shots 9
On target 4
Possession 46%
Corners 6
Fouls 17
Real Madrid
Shots 17
On target 13
Possession 54%
Corners 9
Fouls 14
MATOKEO YA MECHI ZA JANA
8 December | Real Sociedad | 1 - 1 | Getafe | ||
Málaga | 4 - 0 | Granada | |||
Real Valladolid | 2 - 3 | Real Madrid | |||
Osasuna | 0 - 1 | Valencia |
RATIBA MECHI ZA LEO
9 December | Levante | 12 : 00 | Mallorca | ||
Athletic Club | 17 : 00 | Celta de Vigo | |||
Atlético Madrid | 19 : 00 | Deportivo La Coruña | |||
Real Betis | 21 : 00 | Barcelona |
WAFUNGAJI
1. L.Messi - Barca 21
2. C.Ronaldo - Real Madrid 13
3. R. Falcao - Atlético Madrid 11
4. Soldado - Valencia 8
5. Negredo - Sevilla 8
No comments:
Post a Comment