
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili,Rose Muhando akitumbuiza kwenye Tamasha la shangwe Kagera katika uwanja wa Kaibata mjini Bukoba mwishoni mwa wiki,tamasha hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Beula Communication kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika mkoa wa kagera.

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili,Enock Jonas(Zunguka) akitumbuiza kwenye Tamasha la shangwe Kagera katika uwanja wa Kaibata mjini Bukoba mwishoni mwa wiki,tamasha hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Beula Communication kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika mkoa wa kagera.

Masista wa Kituo cha Tumaini Children’s Centre, Sr.Adventina Kyamanywa (kushoto) na Sr.Esther wakijadiliana jambo wakati wa tamasha la shangwe Kagera katika viwanja vya Kaitaba mjini Bukoba.


Mkurugenzi wa Beula Communication, Melkzedek Mutayabarwa akizungumza kwenye Tamasha laShangwe Kagera,ambapo kampuni hiyo ndio iliyoandaa tamasha hilo.

Mkuu wa Wilaya Bukoba,Zippora Pangani akihutubia kwenye Tamasha la shangwe Kagera katika uwanja wa Kaibata mjini Bukoba mwishoni mwa wiki,tamasha hilo lililoandaliwa na Kampuni ya Beula Communication kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika mkoa wa kagera.

Waimbaji wa kwaya ya Vijana ya KKKT Usharika wa kanisa Kuu la Mjini Bukoba wakitumbuiza kwenya tamasha la Shangwe Kagera.

Rose Muhando akiwaburudisha viongozi walioudhuria Tamasha la Shangwe Kagera katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
___________________________________
MAKUNDI NA RATIBA YA UHAI CUP AMBAYO YATAANZA KUTIMUA VUMBI DESEMBA 11 MWAKA HUU 2012
Draw hiyo imechezeshwa jana kwenye ofisi za TFF mbele ya waandishi wa habari na wawakilishi wa vilabu na ilisimamiwa na Salum Madadi ambaye ni Afisa maendeleo ya Soka wa shirikisho la Soka nchini.
Mashindano haya yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba 11 mwaka huu, jijini Dar es salaam na yatashirikisha timu 14 ambazo zimegawanywa kwenye makundi matatu kwenye viwanja vya Azam Complex Chamazi na Karume.
Kundi A na Kundi B litakuwa na timu tano tano ambapo yatatoa timu tatu zitakazoingia robo fainali na kundi C litatoa timu 2 zitakazoingia robo fainali.
Jumla ya timu 8 zitaingia robo fainali ambayo itachezwa tarehe 18 na 19 Desemba, nusu fainali itachezwa Desemba 21 na fainali ni Desemba 23.
KUNDI A
Coastal Union
Tanzania Prison
JKT Ruvu
Mtibwa Sugar
Toto African
KUNDI B
African Lyon
Polisi Moro
Azam FC
JKT Mgambo
Simba SC
KUNDI C
Kagera Sugar
JKT Oljoro
Yanga
Ruvu Shooting
RATIBA YA KUNDI A RATIBA KUNDI B RATIBA KUNDI C
Coastal Union vs Tanzania Prison African Lyon vs Polisi Moro Kagera Sugar vs JKT Oljoro
JKT Ruvu vs Mtibwa Azam vs JKT Mgambo Yanga SC vs Ruvu Shooting
Toto African vs Coastal Union Simba SC vs African Lyon JKT Oljoro vs Yanga SC
JKT Ruvu vs Tanzania Prison Azam vs Polisi Moro Ruvu Shooting vs Kagera Sugar
Mtibwa Sugar vs Toto African JKT Mgambo vs Simba SC Kagera Sugar vs Yanga SC
Coastal Union vs JKT Ruvu African Lyon vs Azam JKT Mgambo vs Ruvu Shooting
Tanzania Prison vs Mtibwa Polisi Moro vs JKT Mgambo
Toto African vs JKT Ruvu Simba vs Azam
Mtibwa Sugar vs Coastal Union JKT Mgambo vs African Lyon
Tanzania Prison vs Toto African Polisi Moro vs Simba
Mwandishi wa Habai akiokota karatasi zenye jina la timu na kingine chenye kundi kwenye visanduku vilivyowekwa mezani tayari kwa upangaji wa makundi
No comments:
Post a Comment