Wenger amesema Beckham aliwasiliana nae akiomba kujiweka fiti na akamkubalia.
Hivi sasa Beckham hana Klabu yeyote
baada ya kung’atuka kuichezea Los Angeles Galaxy inayocheza Ligi ya MLS
huko USA mwishoni mwa Mwaka jana.
Beckham alijitengenezea jina lake alipokuwa na Manchester United na baadaye kuichezea Real Madrid na pia AC Milan.
No comments:
Post a Comment