BUKOBA SPORTS

Sunday, January 27, 2013

FA CUP: MANCHESTER UNITED 4 vs FULLHAM 1 - CHICHARITO, WAYNE ROONEY NA GIGGS WAFANYA KWELI!!! WAITOLEA UVIVU FULLHAM!


MAN UNITED 4 FULHAM 1
Manchester United wameinyuka Fulham Bao 4-1 Uwanjani Old Trafford na kusonga mbele kwenye FA CUP. Javier Hernandez ‘Chicharito alipiga Bao mbili na Wayne Rooney na Ryan Giggs kufunga Bao moja moja na kuitawala kabisa Fulham. Nao Fullham walipata bao la kufutia machozi kupitia kwa Hughes dakika ya 77 ya mchezo huo ambao United walimkalia kooni muda wote wa mchezo.
Rooney na Chicharito wakipongezana baada ya kazi nzuri

Hernandez akiipatia  Manchester United goli la tatu
Rooney akiipatia goli la pili Manchester United kipindi cha pili dakika ya 50 ya mchezo.

Ryan Giggs akichonga penati dakika ya tatu baada ya mchezaji kuunawa mpira eneo la penati
Giggs akishangilia baada ya kufunga goli la kwanza kwa mkwaju wa penati.

Aaron Hughes akiunawa mpira ndani ya boksi na refa kusema mpira penati

 Alex Kacaniklic (kulia) na  Rafael wakioneshana umwamba.
Rooney akikosa nafasi ya kufunga goli
Dimitar Berbatov mchezaji wa United wa zamani (kushoto) na Chris Smalling (kulia) wakigombania mpira katika kipindi cha pili.
Martin Jol akijionea Fulham wakidundwa

VIKOSI:
Man United: De Gea, Rafael, Evra, Jones, Smalling, Anderson (Kagawa 71), Giggs (Valencia 71), Carrick (Scholes 61), Nani, Rooney, Hernandez
Subs not used: Lindegaard, Ferdinand, Welbeck, Van Persie
Goals: Giggs 3, Rooney 50, Hernandez 53, 66
Fulham: Schwarzer, Riise, Hangeland, Baird (Karagounis 46), Hughes, Riether, Sidwell, Duff (Rodallega 61), Kacaniklic, Berbatov, Ruiz (Dejagah 70)
Subs not used: Etheridge, Senderos, Briggs, Petric
Goal: Hughes 77
Referee: Mark Clattenburg



MATOKEO: RAUNDI YA 4
Ijumaa Januari 25
Millwall 2 Aston Villa 1
Jumamosi Januari 26
Stoke City 0 Manchester City 1
Norwich City 0 Luton Town 1
Macclesfield Town 0 Wigan Athletic 1
Derby County 0 Blackburn Rovers 3
Hull City 0 Barnsley 1
Middlesbrough 2 Aldershot Town 1
Brighton & Hove Albion 2 Arsenal 3
Reading 4 Sheffield United 0
Huddersfield Town 1 Leicester 1
QPR 2 MK Dons 4
Bolton 1 Everton 2
Manchester United 4 Fulham 1




RATIBA:FA CUP-RAUNDI YA 4
Jumapili Januari 27
[SAA 9 Mchana]
Brentford v Chelsea
[SAA 11 Jioni]
Leeds United v Tottenham Hotspur
[SAA 1 Usiku]
Oldham Athletic v Liverpool

No comments:

Post a Comment