FRANCIS CHEKA AKUNWA NA MABONDIA WA BUKOBA, BK SANDE NA HAFSA KAZINJA WAPAGAWISHA USIKU WA NDONDI LINA'S NIGHT CLUB!!
Bondia Francis Cheka akisalimiana na wakazi wa Kagera Francis Cheka (kushoto) akiwasalimia mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi wa Lina's Night Club Baadhi ya wadau wa ngumi waliojitokeza usiku huo wa jumaosi ndani ya ukumbi wa Lina's Night Club Mmoja wa wadau wapenda ngumi mkoni hapa akimkubali Cheka Bondia Francis Cheka akionesha mikanda ambayo aliweza kuja nayo Kagera mbele ya mashabiki wake Mdau akimpongeza F.Cheka Katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera Bw. Willy O. Rutta Kiroyera akiteta meza kuu na mgeni Rasmi Bw. Rugeiyamu Afisa Utamaduni wa Mkoa wa Kagera. Bw. Muganyizi -Mkurugenzi wa Zachwa Investiment (kushoto) na kulia ni Francis Cheka Hafsa Kazinja akiporomosha burudani ukumbini Lina's night Club Burudani ikiendelea kutoka kwa mwimbaji wa nyimbo za Zuku hafsa kazinja Mdau Bw. Audax akiendelea kupata Mtangazaji Mc Wadau BK sande akiwaburudisha Mashabiki wake ukumbini hapo Francis Cheka ilibidi atoke kuja naye kushiriki baada ya kazi nzuri ya Bk Sande Mwangalie Cheka akiendelea kucheza na Bk Sande Mzee wa Sekido... kushoto Bw. Jamali Jamco na yeye alikuwepo kujionea live Mashabiki Tahiya kulia na kushoto ni Angel wakiendelea kuangalia masumbwi Mabondia wakiwa wanatupiana makonde kundi likiendelea na kutoa nyimo mbalimbali za asili baada ya raundi ya mchezo wa kwanza kuisha
No comments:
Post a Comment