BUKOBA SPORTS

Monday, January 28, 2013

FRANCIS CHEKA AKUNWA NA MABONDIA WA BUKOBA, BK SANDE NA HAFSA KAZINJA WAPAGAWISHA USIKU WA NDONDI LINA'S NIGHT CLUB!!

Bondia Francis Cheka akisalimiana na wakazi wa Kagera
Francis Cheka (kushoto) akiwasalimia mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi wa Lina's Night Club
Baadhi ya wadau wa ngumi waliojitokeza usiku huo wa jumaosi ndani ya ukumbi wa Lina's Night Club
Mmoja wa wadau wapenda ngumi mkoni hapa akimkubali Cheka
Bondia Francis Cheka akionesha mikanda ambayo aliweza kuja nayo Kagera mbele ya mashabiki wake
Mdau akimpongeza F.Cheka 
Katibu wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera Bw. Willy O. Rutta Kiroyera akiteta meza kuu na mgeni Rasmi Bw. Rugeiyamu Afisa Utamaduni wa Mkoa wa Kagera.
Bw. Muganyizi -Mkurugenzi wa Zachwa Investiment (kushoto) na kulia ni Francis Cheka



Hafsa Kazinja akiporomosha burudani ukumbini Lina's night Club

Burudani ikiendelea kutoka kwa mwimbaji wa nyimbo za Zuku hafsa kazinja


Mdau Bw. Audax akiendelea kupata
Mtangazaji Mc
Wadau



BK sande akiwaburudisha Mashabiki wake ukumbini hapo



Francis Cheka ilibidi atoke kuja naye kushiriki baada ya kazi nzuri ya Bk Sande
Mwangalie Cheka akiendelea kucheza na Bk Sande
Mzee wa Sekido...











kushoto Bw. Jamali Jamco na yeye alikuwepo kujionea live
Mashabiki


Tahiya kulia na kushoto ni Angel wakiendelea kuangalia masumbwi


Mabondia wakiwa wanatupiana makonde


kundi likiendelea na kutoa nyimo mbalimbali za asili baada ya raundi ya mchezo wa kwanza kuisha









No comments:

Post a Comment