FRANCIS CHEKA AKUNWA NA MABONDIA WA BUKOBA, BK SANDE NA HAFSA KAZINJA WAPAGAWISHA USIKU WA NDONDI LINA'S NIGHT CLUB!!
Bondia Francis Cheka akisalimiana na wakazi wa Kagera Francis Cheka (kushoto) akiwasalimia mashabiki waliofurika ndani ya ukumbi wa Lina's Night Club Baadhi ya wadau wa ngumi waliojitokeza usiku huo wa jumaosi ndani ya ukumbi wa Lina's Night Club Mmoja wa wadau wapenda ngumi mkoni hapa akimkubali Cheka Bondia Francis Cheka akionesha mikanda ambayo aliweza kuja nayo Kagera mbele ya mashabiki wake Mdau akimpongeza F.Cheka Katibu
wa chama cha ngumi mkoa wa Kagera Bw. Willy O. Rutta Kiroyera akiteta
meza kuu na mgeni Rasmi Bw. Rugeiyamu Afisa Utamaduni wa Mkoa wa Kagera. Bw. Muganyizi -Mkurugenzi wa Zachwa Investiment (kushoto) na kulia ni Francis Cheka Hafsa Kazinja akiporomosha burudani ukumbini Lina's night Club Burudani ikiendelea kutoka kwa mwimbaji wa nyimbo za Zuku hafsa kazinja Mdau Bw. Audax akiendelea kupata Mtangazaji Mc Wadau BK sande akiwaburudisha Mashabiki wake ukumbini hapo Francis Cheka ilibidi atoke kuja naye kushiriki baada ya kazi nzuri ya Bk Sande Mwangalie Cheka akiendelea kucheza na Bk Sande Mzee wa Sekido... kushoto Bw. Jamali Jamco na yeye alikuwepo kujionea live Mashabiki Tahiya kulia na kushoto ni Angel wakiendelea kuangalia masumbwi Masumbi siyo jambo la mchezo angalia sura za waheshimiwa hapa nao ni moja ya wanamasumbwi wa enzi hizo. Mabondia wakiwa wanatupiana makonde Nyimo mbalimbali za asili baada ya raundi ya mchezo wa kwanza kuisha zikiendelea kuimbwa Ngoma ya Asili ikiimbwa kuwaburudisha mashabiki usiku Wadau mbali mbali wakiendelea kushuhudia tukio hili kwa makini Ndonga mwanzo mwisho hapa .... mjiandae Dar es salaam nakuja!!! Bondia aliyeshinda kwa mpambano wa raundi ya tatu akibebwa na mafans wake juu juuu. Mr. Francis Cheka na Bibie wakiteta kwa furaha ... na huku mke wake akisikilizia ndonga za ukweli..mhh Mzee Chopolopolo na Hafsa Kazija wakishushana Presha..Lina's Night Club Chipolopolo na wewe unajua kuimba kweli ....? Mzee Willy Kiroyera na Familia yake wakiangalia masumbwi Nd.Steve (Video Shooter) akichukua matukio
No comments:
Post a Comment