BUKOBA SPORTS

Monday, January 28, 2013

KIRAFIKI: BUKOBA VETERAN 3 vs UMOJA WA WATUMA SALAMU KAGERA SPORT 1

kikosi cha Umoja wa watuma salamu Kagera

Kikosi Cha Bukoba Veteran


Benchi la Bukoba Veteran

Benchi la Umoja wa watuma salamu Kagera
Mpira ukianza
Mashabiki wakiendelea kuangalia mtanange huo wa kirafiki

Mashabiki jukwaa kubwa

soka likiendelea
Mashabiki wakiendelea kutazama na kupeana story mbili tatu hapa

Mpira ukiendelea

Timu ya Watuma salam Kagera wakishangilia mara ya kupata bao



mashabiki


Taswira ya Uwanja wa Kaitaba Stadium kama unavyojionea hapa







Mpaka mpira unaisha Bukoba Veteran walikuwa wanaongoza 3-1

Refa wa mchezo wa kirafiki ambaye ni MTANGAZAJI wa Radio Kasibante ya Hapa mjini Bukoba Bw. Abdrazack akisalimiana na mchezaji baada ya mechi kuisha.
Picha ya Pamoja
Picha ya wana umoja wa watuma salam Kagera baada ya mechi kuisha

Dj Slay mtangazaji wa Radio Kasibante (kushoto) akiwa na mdau wake Mtuma salam

No comments:

Post a Comment