BUKOBA SPORTS

Thursday, January 31, 2013

MASHINDANO YA NGUMI YA KLABU BINGWA TANZANIA KUANZA LEO, MABONDIA WAPIMA UZITO


Bondia Selemani Kidunda wa Klabu ya ngome ambaye aliwakilisha Tanzania katika mashindano ya Olimpiki yaliyofanyika London mwaka jana akipima uzito, Dar es salaam Leo kwa ajili ya mashindano ya Klabu bingwa ya Taifa yanayoanza kesho katika uwanja wa ndani wa taifa

Bondia Abdallah Shamte wa Klabu ya Ashanti ya Ilala akipima uzito kwa ajili ya mashindano ya Klabu Bingwa yatakayoanza kesho katika uwanja wa ndani wa Taifa

No comments:

Post a Comment