BUKOBA SPORTS

Friday, January 25, 2013

RAIS KIKWETE ATEMBELEA FIFA, AKUTANA NA RAIS WA FIFA SEPP BLATTER MJINI ZURICH SWITZERLAND


President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete bids farewell to his host FIFA president Joseph Sepp Blatter after visiting FIFA headquarters in Zurich, Switzerland at the invitation of Mr. Blatter.

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete with FIFA President Joseph Sepp Blatter at FIFA headquarters in Zurich.

Rais wa FIFA Joseph Sepp Blatter akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete bendera maalum ya FIFA.

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, akiwa katika picha ya Pamoja na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter na Rais wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Leodgar Chilla Tenga (kulia) wakati Rais Kikwete na ujumbe wake walipotembelea Makao Makuu ya FIFA mjini Zurich, Switzerland jana Januari 23, 2013 kwa Mwaliko maalum wa FIFA.

FIFA president Joseph Sepp Blatter shows President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete various World trophies on display at FIFA headquarters in Zurich, Switzerland.

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, akimweleza jambo Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter (kulia) kuhusiana na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Leodgar Chilla Tenga. Tenga pia ni Mwenyeketi wa Baraza la Vyama vya Soka vya Afrika Mashariki (CECAFA).

No comments:

Post a Comment