Akikiri kuwa hata yeye angetumia mbinu
hizo hizo, Feguson, Gwiji la vita ya Kisaikolojia katika kusaka ushindi
kwenye Soka, ametamka: “Uzoefu wangu unaniambia kila Timu itapoteza
Pointi. Najua wao wanasema sisi tutapoteza Pointi na mie nasema na wao
pia watapoteza Pointi. Huwezi kuepuka. Ni Ligi ngumu na si rahisi
kushinda Mechi zako zote. Kwa sasa tuna mwelekeo mzuri hivyo tunaenda
Mechi kwa Mechi.”

Man United hawajafungwa katika Mechi zao zote 16 walizocheza mwisho na kati ya hizo wameshinda 12 na Ferguson amesema: “Kushinda Mechi inayofuata ndio kitu pekee tunaweza kufanya.”
Man United hawajafungwa katika Mechi zao zote 16 walizocheza mwisho na kati ya hizo wameshinda 12 na Ferguson amesema: “Kushinda Mechi inayofuata ndio kitu pekee tunaweza kufanya.”
Roberto Mancini believes Samir Nasri (right) needs to work harder to be one of the best
Mancini said if goalkeeper Joe Hart under performs, he will be dropped
Mancini says he would love to manage England at some point in his career
Mancini said he would expect to be knighted if he won a trophy for England
Rooney akifanya mazoezi na Evra.
RATIBA: BARCLAYS PREMIER LEAGUE
Jumamosi Februari 23
[Saa 9 Dak 45 Mchana]
Fulham v Stoke City
[Saa 12 Jioni]
Arsenal v Aston Villa
Norwich City v Everton
Queens Park Rangers v Manchester United
Reading v Wigan Athletic
West Bromwich Albion v Sunderland
Jumapili Februari 24
[Saa 10 na Nusu Jioni]
Manchester City v Chelsea
Newcastle United v Southampton
Jumatatu Februari 25
[Saa 5 Usiku]
West Ham United v Tottenham Hotspur
No comments:
Post a Comment