
Juu na chini ni Washiriki wa Miss Utalii Tanzania Taifa 2012/13 wakiwa katika eneo maalum ambapo Ndipo harakati za kutafuta Uhuru wa Tanzania zilikuwa zikifanyika.


Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 Taifa wakiwa katika Moja ya Kumbukumbu hizo

Rais wa Miss Utalii Tanzania Ndugu Erasto G. Chipungahelo, akielezea kwa kina juu ya mashindano ya Miss Utalii Tanzania 2012/13 na kumshukuru Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Jerry Silaa kwa kuwakaribisha katika Manispaa Hiyo.

Washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 wakiwa katika Picha ya Pamoja

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Muheshimiwa Jerry Silaa akiwakaribisha washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 katika Manispaa ya Ilala

Mmoja wa washiriki wa Miss Utalii Tanzania 2012/13 , kutoka Kanda Maalum ya Zanzibar akitoa Shukurani kwa niaba ya Warembo wenzake

Muheshimiwa Jerry Silaa Akizungumza na Washiriki wa Miss Utalii Tanzania
No comments:
Post a Comment