
Diamond mwenyewe ameiambia bukobasports.com kuwa amejipanga kisawasawa kuonesha ujuzi wake leo ndani ya Dar Live leo usiku saa 1:00 hadi Majogoo, Bongo Flava na Hip Hop tutaoneshana ni ipi itaibuka juu, Mashabiki mtanionea wazi..Patashimbika leo mpaka kielewe!!!
No comments:
Post a Comment