Redd's Miss Kagera 2012 Baby Kalalaa ndiye atakaye simamia swala zima la mazoezi ya warembo hao ambao leo jumatatu wanaanza kuwasili kambini. Kamati ya maandalizi Redd's miss Muleba mapema leo imeanza kupokea warembo kwa ajili ya kambi inayoanza rasmi leo jumatatu Warembo 12 kutoka vitongoji vya Rubya, Kishanda, Kamachumu, Nshamba, Kamishango, Kibanga, Mbunda, Buleza, Kagoma, Gwanseli na Muleba mjini watachuana vikali 31-5-2013 kwenye ukumbi wa Waisuka Muleba.
Mshiriki kutoka kamishango kaishawasili

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Tid

Dayna Nyange kuwasha moto siku hiyo
No comments:
Post a Comment