
Dr. Asha Rose Migiro katikati Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa Chama cha Mapinduzi CCM akiwasili katika hoteli ya Golden Tulip mahali ambapo matembezi ya hisani kuchangia fedha kwa ajili ya kuapambana na Ugongwa wa Fistula na kuzuia vifo kwa mama na mtoto yamefanyika jijini Dar es salaam na kushirikisha taasisi na mampuni mbalimbali nchini, matembezi hayo yameandaliwa na benki ya Barclays, kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa Barclays Kihara Maina na kushoto ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa kampuni ya Montage ambayo ndiyo imeratibu matembezi hayo

Dr. Asha Rose Migiro Kushoto Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa Chama cha Mapinduzi CCM akishiriki mazoezi kabla ya kuanza kwa matembezi hayo leo asubuhi kutoka kulia ni Dr. Aloyce Nzuki Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB, Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafia na mjube wa bodi ya wakurugenzi ya TTB Kihara Maina Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays

Dr. Yasin akiongoza mazoezi kabla ya kuanza kwa matembezi hayo leo asubuhi.

Dr. Asha Rose Migiro Kushoto Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa Umoja wa Mataifa na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kiamataifa Chama cha Mapinduzi CCM akishiriki mazoezi kabla ya kuanza kwa matembezi hayo leo asubuhi kutoka kulia ni Dr. Aloyce Nzuki Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya Utalii TTB, Abdulkarim Shah Mbunge wa Mafia na mjube wa bodi ya wakurugenzi ya TTB, Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi TTB Baozi Charles Sanga na Kihara Maina Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays

Bendi ya polisi ikiongoza matembezi hayo

Matembezi yakiendelea

Yalipitia katika mitaa mbalimbali ya Oysterbay jijini Dar es salaam na kuishia Golden Tulip

Yakielekea kumalizika rasmi

Ikawa ni kupasha mwili baada ya kumalizika kwa matembezi hayo

Mmoja wa walemavu alishiriki bega kwa bega katika matembezi hayo hapa akiwa anafanya mazoezi
No comments:
Post a Comment