BUKOBA SPORTS

Wednesday, July 10, 2013

KAGASHEKI CUP 2013: YAZIDI KUCHUKUA SURA MPYA!!!

Wachezaji wa Bilele wakiingia uwanjani Kaitaba
Karibu: Bilele wakiingia uwanjani tayari kwa mchezo na Nshambya jana
Wachezaji wa Bilele wakifanya mazoezi
Kwa njia hii kushindwa hakupo!!!!
Bilele wakifanya kilichomoyoni mwao ...full kujifua hapa ili kuleta picha tofauti uwanjani!!

Bilele ni sisi ......km.0

Leo  ni HAMUGEMBE na KITENDAGURO saa 8:00 Mchana ikifuatiwa na mtanange mkali wa IJUGANYONDO na KASHAI.
Kumbuka ndugu Mtazamaji na mpenzi wa mtandao huu wa bukobasports.com KAGASHEKI CUP ni Mjumuiko wa kata zote 14 za Bukoba na Zimegawanywa kwenye makundi mawili "A" na "B" huku kundi A ikiwa na Timu 7 na Kundi B ikiwa na Timu 7.

KUNDI "A"  ni Rwamishenye, Buhembe, Bilele, Nshambya, Kibeta, Kagondo na Miembeni .

KUNDI "B" ni Kitendaguro, Nyanga, Kashai, Hamugembe, Ijuganyondo, Bakoba na Kahororo.

No comments:

Post a Comment