BUKOBA SPORTS

Monday, July 8, 2013

KWAYA YA WATOTO UPENDO KWAYA YA KANISA LA ANGLIKANA BUKOBA WAZINDUA DVD YA NYIMBO KWA MALENGO YA KUKUZA MFUKO WAO KWA AJILI YA ELIMU, MGENI RASMI BALOZI KAGASHEKI AKIWACHANGIA MILIONI ISHIRINI NA LAKI SITA

Mgeni rasmi akitoa neno na kueleza jinsi alivyogusswa na nyimbo zilizomo kwenye albamu ya watoto (aliwaita malaika) na katika risala ya watoto walihitaji wapate kiasicha milioni kumi na tano watakapouza DVD zao na peas hiyo isaidie katika kulipa karo zao, ndipo Balozi Kagasheki aliposema nawapa shilingi milioni ishirini kwa sababu kitu hiki ni cha msingi sana katika maisha ya watoto hawa ambao miongoni mwao ni yatima na hawana uwezo wa kugharamikia karo ili waweze kusoma DVD hii aliinunua kiasi cha laki sita kusaidia mfuko wa watoto

Ndugu Muganyizi Zachwa alinunua DVD nae kwa laki mbili na nusu kuchangia mfuko wa watoto
Ernest Nyambo nae alinunua Dvd kwa laki mbili na nusu

Binti jackline mwimbaji mahili akieleza kitu

Richard leo mkurugenzi wa redio kasibante nae alikuwepo


Baba askofu akimshukuru mgeni rasmi,alisema sikutegemea ulichofanya kwa watoto hawa , mungu akubariki sana
Watoto wa kwaya ya upendo wakiwa kanisani
watoto wa kwaya upendo upendo ambao wamezindua albam ya nyimbo za video( mungu ni mwema)
Anaepiga kinanda ndio mwalimu wa kwaya ya upendo Emanuel Tumwesige Bililiza akiwa nya mwenyekiti wa kwaya ambae ni mwimbaji maili sana anapokuwa jukwaani Jackline(wende) Kakengi
Jackline kakengi na wenzake wakiimba
balozi kagasheki ambae alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo akifurahia kwaya ya watoto wa upendo ikitumbuiza, na kulia ni mwenyekiti wa ccm wilaya ya bukoba mjini yusuf ngaiza
Baba Askofu Jackton Lugumira wa kanisa la Anglikana
Waumini na wageni mbalimbali waliofika kushuhudia uzinduzi
Baba askofu akihutubia waumini
Waumini na wageni waalikwa



Wachungaji
Mwalimu lobozi na kulia ni mama mwainunu
Mzee rweyemamu(advocate) nae alikuwepo na aliwachangia watoto kutunisha mfuko wao
jumanne bingwa, msaidizi wa mbunge kagasheki
upendo kwaya wakitoa burudani

katibu wa ccm bukoba mjini Janati musa akiwa na ndugu Muganyizi zachwa wakifurahia
mwalimu lobozi katika swala zima la kuamasisha waumini na wageni waalikwa kuchangia mfuko wa watoto kwa ajili ya kuwasomesha
mgeni rasmi akitete na ndugu yusuf
ndugu ernest nyambo akiwa ananadi DVD 3 kwa bei ya juu ili kutunisha mfuko wa watoto

No comments:

Post a Comment