Wayne Rooney ameishakutana na David Moyes meneja wa United kama mara tatu au nne na kuteta kuhusu yeye japo kuna fununu za hapa na pale za kutaka kusahiniwa na klabu ya Chelsea hivi karibuni.
Good start: Zaha posted this picture on Instagram
Kocha David Moyes akiteta na meneja msaidizi Steve Round kwenye mazoezi
Danny Welbeck na Rio Ferdinand wakipasha kwenye mazoezi
No comments:
Post a Comment