Mshambuliaji wa Hispania Fernando Torres aliibuka mfungaji bora wa mashindano hayo na kukabidhiwa kiatu cha dhahabu kwa kufunga mabao matano, mshindi alikuwa mshambuliaji wa Brazil Fred aliyefunga mabao matano pia lakini walipishana muda wa kufunga mabao hayo na kupewa kiatu cha fedha na mshindi wa tatu ni Neymar aliyefunga mabao manne na kupewa kiatu cha shaba. Mbali na tuzo hizo pia golikipa wa Brazil Julio Cesar alishinda tuzo ya golikipa bora wa mashindano na kukabidhiwa glovu za dhahabu huku timu ya Hispania ikishinda tuzo ya Fair Play.
Tuesday, July 2, 2013
NEYMAR AFUNIKA!!! MCHEZAJI BORA MICHUANO YA SHIRIKISHO. ANGALIA NA TUKIO ZIMA BAADA YA BRAZIL KUTWAA USHINDI WA MABARA 2013!
Mshambuliaji wa Hispania Fernando Torres aliibuka mfungaji bora wa mashindano hayo na kukabidhiwa kiatu cha dhahabu kwa kufunga mabao matano, mshindi alikuwa mshambuliaji wa Brazil Fred aliyefunga mabao matano pia lakini walipishana muda wa kufunga mabao hayo na kupewa kiatu cha fedha na mshindi wa tatu ni Neymar aliyefunga mabao manne na kupewa kiatu cha shaba. Mbali na tuzo hizo pia golikipa wa Brazil Julio Cesar alishinda tuzo ya golikipa bora wa mashindano na kukabidhiwa glovu za dhahabu huku timu ya Hispania ikishinda tuzo ya Fair Play.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment