BUKOBA SPORTS

Monday, July 8, 2013

ROONEY AFANIKISHA DILI LA NGUVU NA KAMPUNI YA NDEGE YA RUSSIAN AIRLINE AEROFLOT, SASA UNITED KUANZA KURUKA NA AEROFLOT!!


Klabu ya Manchester United imethibitisha kuwa Kampuni ya Ndege ya Urusi, Aeroflot, itakuwa mmoja wa Wadhamini wao wapya na ndiyo Kampuni yao rasmi kwa Usafiri wao wa Ndege.
Dili hii imeanuliwa rasmi leo mbele ya Meneja mpya David Moyes na Kikosi cha Wachezaji wa Man United.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Man United, Richard Arnold, alisema: “Leo tunaanza rasmi biashara Nchini Russia, Soko ambalo tuna nia ya kulikuza. Klabu yetu inao karibu Mashabiki Milioni 18 huko Urusi. Aeroflot Mwaka huu wanasherekea Mwaka wao wa 90 tangu ianzishwe.”
Aeroflot inaibadili Turkish Airlines kwenye udhamini wa Safari za Ndege.

True colours: Wayne Rooney was on hand at Old Trafford as Manchester United unveiled a new partnership with Russian airline Aeroflot

Still here: Rooney has been linked with a move away from Old Trafford this summer

Welcome aboard: Ryan Giggs, manager David Moyes, Group managing director Richard Arnold, Rio Ferdinand and Patrice Evra of Manchester United pose with CEO of Aeroflot Vitaly Saveliev

Glamorous deal: Aeroflot are the new official carrier on Manchester United
New man in charge: David Moyes took over as the new Manchester United manager at the start of July

No comments:

Post a Comment