IBRAHIM JUMANNE NA SOFIA SONGORO WAMEREMETA LEO KAMACHUMU BUKOBA.
Bwana Harusi Ibrahim na Bibi harusi Bi. Sofia Songoro wakimeremeta leo hii Nyumbani kamachumu Bukoba Kijijini walipofungia ndoa mchana wa leo Ijumaa tarehe 27.09.2013 Wageni mbalimbali waliojitokeza kwenye harusi hiyo Kamachumu leo Bwana Harusi Ibrahim kulia akipokea neno kutoka kwa Sheikh na makubaliano kati yake na upande wa pili wa Bi Harusi. Bw. Yusuph Songoro (kushoto) kaka wa Bi Harusi nae alikuwepo kushuhudia harusi hiyo Bw. Yusuph Songoro akipeana neno na rafiki yake akimwaga wino hapa Bibi harusi Bi. Sofia Songoro akimwaga wino kwenye kitabu Bibi harusi Bi. Sofia Songoro akifurahia hapa Kuoa sio mchezo Bw. Ibrahim....hongera sana Sheikh Haruna kichwabuta nae alikuwepo kwenye harusi hiyo iliyofungwa leo hii Kamachumu Bukoba Kijijini. Bwana Harusi Ibrahim akimkumbatia mkewe Bi. Sofia Songoro leo hii baada ya kukabidhiwa... . Sheikh Haruna Kichwabuta akitoa nasaha kwa wanandoa hao
No comments:
Post a Comment