BUKOBA SPORTS

Friday, September 27, 2013

PICHA: JENGO LA WESTGATE KABLA NA BAADA YA KUTEKWA LINAVYOONEKANA.

BAADA.

Picha za nje ya jengo la Westgate hazioneshi uhalisia wa hali iliyoko ndani ya jengo baada ya shambulio la kigaidi Jumamosi iliyopita jijini Nairobi, Kenya na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 70.

Hivi ndivyo jengo la West gate linavyoonekana kwa nje

Picha hizi zinatoa picha halisi ya jinsi jengo hilo lilivyoharibika vibaya kwa ndani baada ya ghorofa tatu za jengo hilo kudondoka baada ya kupigwa mabomu katika mchakato wa kukabiliana na magaidi.

Picha hizi pia zinaonesha jinsi magari yaliokuwepo eneo la maegesho ya magari katika jengo hilo yakiwa yameharibiwa kiasi kwamba kuna mengine ambayo huenda hata wamiliki wanaweza kushindwa kuyatambua.






Picha: Nairobi Wire, Mail Online

No comments:

Post a Comment