BUKOBA SPORTS

Saturday, September 7, 2013

SAIDA KAROLI KUWASHA MOTO LEO JUMAMOSI NA KESHO JUMAPILI UWANJA WA KAITABA - BUKOBA.


Mkali wa muziki wa asili ya Kihaya, Saida Karoli,atafanya  matamasha makubwa mawili la kwanza ni usiku wa saida karoli, litafanyika tarehe,7.9.2013 leo jumamosi kuanzia saa 2 usiku kiigilio V.I.P ni Tsh.15000/= tu na kawaida ni Tsh.10,000/= tu kwenye ukumbi  wa LINA'S CLUB BUKOBA MJINI na Tarehe 8.9.2013 Jumapili ni katika uwanja wa Kaitaba Kiingilio ni Tsh.2500/= tu. Saida Karoli atasindikizwa na Jopo la wasanii lukuki waliowahi kurekodia nyimbo zao ndani ya Tivol Studio wakiwemo wasanii wa nchi Jirani na wa hapa nyumbani Bukoba.
www.bukobasports.com

No comments:

Post a Comment