Howson akiipatia bao Norwich dakika ya 34.
Klabu ya Norwich imejipatia ushindi wake wa pili wa Ligi kuu ya England kupitia bao la Jonny Howson katika kipindi cha kwanza kuibwaga Stoke.
Howson alizitikisa nyavu za Stoke kutoka umbali wa yadi 25 kwa mkwaju wa chini katika mechi iliyokua na upungufu wa fursa chache.
Hata hivyo nyota ya Norwich ilionekana mapema baada ya mkwaju wa mshambuliaji Ryan Bennett kugonga besera na mpira uliporudi uwanjani golikipa Asmir Begovic akazuia juhudi za washambuliaji wa Norwich.
Kwa kipindi kizima cha mchuano Stoke iliweza kujaribu mara moja kufanya shambulizi ambapo Steven Nzonzi alilazimisha golikipa wa Norwich John Ruddy kuinama ili kupooza mkwaju wa kutoka masafa marefu.
Klabu ya Norwich imejipatia ushindi wake wa pili wa Ligi kuu ya England kupitia bao la Jonny Howson katika kipindi cha kwanza kuibwaga Stoke.
Howson alizitikisa nyavu za Stoke kutoka umbali wa yadi 25 kwa mkwaju wa chini katika mechi iliyokua na upungufu wa fursa chache.
Hata hivyo nyota ya Norwich ilionekana mapema baada ya mkwaju wa mshambuliaji Ryan Bennett kugonga besera na mpira uliporudi uwanjani golikipa Asmir Begovic akazuia juhudi za washambuliaji wa Norwich.
Kwa kipindi kizima cha mchuano Stoke iliweza kujaribu mara moja kufanya shambulizi ambapo Steven Nzonzi alilazimisha golikipa wa Norwich John Ruddy kuinama ili kupooza mkwaju wa kutoka masafa marefu.
Jitihada zake za kukatiza na kuwatoka mabeki zikazaa bao
Howson akishangilia baada ya kuipachikia bao timu yake Norwich.
Johan Elmander akichuana na Marc Wilson
Mchezaji wa Stoke Charlie akichuana na Leroy Fer
Furaha kwa kipa wa Norwich John Ruddy baada ya timu yake kufunga bao na kupanda juu kutoka kwenye matatizo.
STOKE: (4-5-1) Begovic 6, Cameron 5, Shawcross 6, Huth 6, Pieters 5; Walters 5, (Pennant 46, 5) Nzonzi 4, Wilson 5, Adam 5, (Ireland 46, 7) Arnautovic 5; Jones 3. (Crouch 66, 5)
Subs not used: Sorensen, Whelan, Palacios, Assaidi
Booked: Wilson, Pieters
Subs not used: Bunn, Johnson, Hoolahan, Jo Murphy, Hooper
Booked: Fer
Goals: Howson 34
Attendance: 26,184
Ref: Anthony Taylor
No comments:
Post a Comment