BUKOBA SPORTS

Monday, September 9, 2013

TOKYO YAIPIGA CHINI MADRID, YATEULIWA KUWA MWENYEJI WA OLIMPIKI 2020.

JIJI la Tokyo limechaguliwa kuwa mwenyeji wa michuano ya olimpiki ba paralimpiki 2020 na kuishinda miji ya Istabul, Uturuki na Madrid, Hispania. Mji huo mkuu w Japan ulishinda mzunguko wa mwisho wa kura zilizopigwa na wajumbe wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki-IOC katika hafla iliyofanyika jijini Buenos Aires, Argentina. Katika kura hizo Madrid ilienguliwa mapema na kuiacha miji hiyo miwili katika duru la mwisho la kura ambapo Tokyo iliibuka na ushindi kwa kuzoa kura 60 dhidi ya 36 za Istabul.

Ilikuwa ni sherehe kubwa nchini Japan pamoja na viongozi wa nchi hiyo waliokuwepo kwenye shughuli hiyo wakati rais wa IOC Jacques Rogge ambaye anamaliza muda wake Jumanne ijayo baada ya kuongoza kwa miaka 12, kuitangaza Tokyo kama mwenyeji wa michuano hiyo ya 2020. Hiyo ni mara ya kwanza kwa Japan kupewa uenyeji wa kuandaa michuano hiyo mikubwa kabisa duniani toka wafanya hivyo mwaka 1964. 
IOC president Jacques Rogge reveals Tokyo as the winner in the voting for the 2020 Olympics.Japan's Prime Minister Shinzo Abe, right, talks with International Olympic Committee President Jacques Rogge after the signing the Host City Contract in Buenos Aires, Argentina, Saturday, Sept. 7, 2013. Tokyo defeated Istanbul in the final round of secret voting Saturday by the International Olympic Committee. Madrid was eliminated earlier after an initial tie with Istanbul. (AP Photo/Natacha Pisarenko))Tokyo delegation members celebrate as Istanbul delegates offer some polite applause.


Japan's Prime Minister Shinzo Abe, center, celebrates wih members of his delegation after Tokyo was awarded the 2020 Summer Olympic Games during the 125th IOC session in Buenos Aires, Argentina, Saturday, Sept. 7, 2013. Tokyo defeated Istanbul in the final voting round. (AP Photo/Natacha Pisarenko)A member of the International Olympic Committee, IOC, holds the envelop containing the name of the city to be awarded the 2020 Summer Olympic Games during the 125th IOC session in Buenos Aires, Argentina, Saturday, Sept. 7, 2013. Tokyo defeated Istanbul in the final round of secret voting Saturday by the International Olympic Committee. Madrid was eliminated earlier after an initial tie with Istanbul. (AP Photo/Natacha Pisarenko)Japan's Prime Minister Shinzo Abe, second from right, and other members of the Japanese delegation celebrate as International Olympic Committee (IOC) President Jacques Rogge announces that Tokyo will host the 2020 Olympic Games during the 125th IOC session in Buenos Aires, Argentina, Saturday, Sept. 7, 2013. Tokyo defeated Istanbul in the final round of secret voting Saturday by the International Olympic Committee. Madrid was eliminated earlier after an initial tie with Istanbul. (AP Photo/Ian Watson, Pool)

No comments:

Post a Comment