Kenya waliifunga Kilimanjaro Stars Bao 1-0 katika Mechi iliyohamishwa toka Machakos na kupelekwa Nyayo Stadium, Nairobi baada ya Uwanja kufurika maji.
Katika Nusu Fainali nyingine, Zambia na Sudan zilitoka 0-0 katika Dakika 90 na Mechi kuongezwa Dakika 30 ambapo Sudan walishinda 2-1.
No comments:
Post a Comment