Boas alitimuliwa baada ya timu ya Tottehnam kuchapwa na Liverpool mabao 5-0.
Kocha wa zamani wa Uingereza Fabio Capello, Meneja wa Swansea Michae Laudrup na mkurugenzi wa ufundi wa Tottehnam Franco Baldini, ni baadhi ya wengine wanaotajwa kua huenda wakachukua na fasi hio.
Wakati Tottenham wakitimua kocha kwa upande wake Meneja wa Liverpool Brenden Rodgers amesema hatua ya timu yake kuisambaratisha Tottenham kwa magoli 5 - 0 katika uwanja wao wa nyumbani wa White Hart Lane ni moja kati ya mechi ya viwango vya juu vilivyoonyeshwa na Liverpool katika kipindi cha uongozi wake.
No comments:
Post a Comment