Wachezaji wa City wakipongezana baada ya kusawazisha bao
Aleksandar Kolarov akiisawazishia bao kwa mkwaju wa penati na kufanya 2-2
Thomas Muller akishangilia bao lake
David Silva akimfunga kipa wa Bayern Manuel Neuer na kufanya 2-1 katika kipindi cha kwanza
wachezaji wa Bayern Munich wakipongezana bao la Mario Gotze
Kocha wa City Pellegrini bado anajipa moyo kuwa timu yake ni tishio na hakuna cha Barca wala Real zote amezipania kuzichapa tu.
Man Citybado wapo nafasi ya pili kwa utofauti wa mabao licha ya kuibuka na ushindi leo na walicheza mechi hii wakiwa wamefudhu tayari.
VIKOSI:
Bayern Munich:
Neuer 6; Lahm 6, Boateng 5, Dante 5, Alaba 6; Thiago 7; Müller 7,
Goetze 6 (Martinez 55, 6), Kroos 6, Ribery 7; Mandzukic 6 (Shaqiri 69,
5). Subs: Starke, Van Buyten, Rafinha, Pizarro, Contento.
Scorers: Muller 5, Goetze 12 Booked: Dante
Man City: Hart 7; Richards 6 (Zabaleta 16, 7), Demichelis 6, Lescott 5, Kolarov 6; Garcia 6, Fernandinho 7; Navas 7, Silva 7 (Negredo 73, 7), Milner 8; Dzeko 7 (Rodwell 88).
Subs: Pantilimon, Kompany, Aguero, Boyata.
Scorers: Silva 28, Kolarov pen 58, Milner 62 Booked: Dzeko, Milner
Referee: David Borbalan (Spain)
Man of the match: James Milner
No comments:
Post a Comment