BUKOBA SPORTS

Thursday, February 27, 2014

MANCHESTER UNITED YA SASA SI ILE!! YA SASA NI MBOVU!! DAVID MOYES ANAHITAJI KUPEWA MUDA ZAIDI!, ASISITIZA TENA ROBIN VAN PERSIE!

Robin van Persie ameieleza Manchester United kama ni "mbovu" lakini amesisitiza David Moyes anahitaji muda ili kurekebisha mambo Old Trafford.
Msimu wa Man United ulizidi kudidimia Jumanne Usiku wakati walipofungwa 2-0 huko Ugiriki na Olympiacos katika Mechi ya Kwanza ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya UEFA CHAMPIONS LIGI.
Ukichukulia Man United, ambao ndio Mabingwa Watetezi, wapo Pointi 11 nyuma ya Timu ya 4 kwenye Ligi Kuu England na wapo Pointi 15 nyuma ya Vinara Chelsea, baadhi ya Watu wamedai Moyes yupo njiani kupigwa Buti.
Lakini Robin van Persie amemtetea Moyes kwa kusema: “Yeye ni mpya na anahitaji muda. Anafanya bidii pamoja na sisi. Ni rahisi kumyooshea kidole Meneja lakini ni sisi tunatakiwa kuleta mafanikio Uwanjani.”
Licha ya kukiri huu ni Msimu mbovu kwao, Robin van Persie amesisitiza kuwa upo uwezekano mkubwa wa kuwabwaga Olympiacos katika Mechi ya Marudiano Old Trafford hapo Machi 19.  Wachezaji wa Everton wakishamgilia ushidi, Bryan Oviedo na Sylvain Distin walioupata Old TraffordSaido Berahino wa West Brom akishangilia bao lake la ushindi na ikiwa ni miaka mingi sana wapate ushindi Old Trafford.
Daniel Sturridge wa Liverpool akiwaua UnitedHappy days: Evra and Vidic with the Premier League trophy after last season's title winEvra na VidicStick together: Vidic and Evra both arrived at United in January 2006, and were soon mainstaysVidic na EvraEvra kwenye mazoezi...

"We are lousy - in a lousy position in the league, out of the cups and this looks a difficult one also"
Robin van Persie

No comments:

Post a Comment