Kinda huyo ambaye birthday yake iligongana na wachezaji wengine wakubwa akiwemo Christiano Ronaldo, Neymar and Carlos Tevez, ambao nao vilevile walipewa zawadi ya keki kutoka katika vilabu wanavyochezea.
Na hii ndio picha ya keki aliyotweet Adnan kupitia mtandao wa Twitter.
No comments:
Post a Comment