BUKOBA SPORTS

Sunday, March 30, 2014

LA LIGA: ATHLETICO BILBAO 1 v ATHLETICO MADRID 2, COSTA NA KOKE WAIPATIA USHINDI ATHLETICO NA KUIRUDISHA KILELENI.

Goal machine: Diego Costa celebrates after equalising for Atletico Madrid in his side's clash with BilbaoAtletico Madrid walirejea tena kileleni kwa kuichapa Athletic Bilbao Bao 2-1 kwenye Mechi waliyocheza Ugenini huko Estadio San Mames.Opener: Iker Muniain clenches his fist in celebration after putting Athletic Bilbao ahead after six minutes
Bilbao walitangulia kufunga kwa Bao la Iker Muniain la Dakika ya 6 na Diego Costa kuisawazishia Atletico katika Dakika ya 22 kisha Koke kuipa Bao la ushindi kwenye Dakika ya 55.

Costa jana usiku akifanya mambo yake wakati wanacheza ugenini na Athletic Bilbao

Wachezaji wa Athletic Bilbao Mikel San Jose juu kwa juu kuwania mpira

Mchezaji wa Bilbao Markel Susaeta akichuana kuugombania mpira wa kichwa juu na Costa

Kocha wa Atletico Madrid head Diego Simeone akifurahia hapa baada ya kuona timu yake iko mbele ya bao 2-1.

No comments:

Post a Comment