Kocha huyo wa zamani wa Everton amekaa miezi 10 tu katika mkataba wake wa miaka 6 na, hatua hiyo imekuja baada ya kuwa na mfululizo mbaya wa matokeo. Katika mkataba wa Moyes na United kulikuwa na kipengele kinachoeleza ikiwa Manchester United ingefeli kufuzu kucheza Champions League msimu huu basi ikatokea United wakaamua kusitisha mkataba wake basi fidia isingezidi mshahara wake wa miezi 12 ambao ni £5million.
Wednesday, April 23, 2014
DAVID MOYES KULIPWA FIDIA YA PAUNDI MILLIONI 5 BAADA YA KUTIMULIWA
Kocha huyo wa zamani wa Everton amekaa miezi 10 tu katika mkataba wake wa miaka 6 na, hatua hiyo imekuja baada ya kuwa na mfululizo mbaya wa matokeo. Katika mkataba wa Moyes na United kulikuwa na kipengele kinachoeleza ikiwa Manchester United ingefeli kufuzu kucheza Champions League msimu huu basi ikatokea United wakaamua kusitisha mkataba wake basi fidia isingezidi mshahara wake wa miezi 12 ambao ni £5million.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment