
Azam FC kwa ushindi huo imefikisha pointi 59 ambazo hazitaweza kufikiwa na timu yeyote ile katika ligi hiyo. Azam pia mbali na kuwa bingwa pia imefikia rekodi ya Simba ya mwaka juzi ya kutwaa ubingwa bila kupoteza mchezo hata mmoja.
Azam pia imevunja rekodi ya mwaka 2001 baada ya Ubingwa kwenda Mtibwa Suger badala ya wakongwe Simba na Yanga.
Rekodi hiyo pia inashikiliwa na timu za Coast Union ya Tanga na Tukuyu, Cosmo na Mseto Morogoro.
Yanga imeshinda mechi yake ya leo dhidi ya JKT Oljoro kwa bao 2-1 na kufikisha pointi 55, Mbeya Siti wapo nafasi ya tatu wakiwa wamebaki na pointi 46 wakifuatiwa na Simba ambayo leo nayo imepata kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Watoto wa mjini Ashanti
United na kunusurika kushuka daraja.
AZAM FC ILIVYOIFUNGA MBEYA CITY KATIKA PICHA.
Kipre Tchetche akitoka nje ya uwanja huku akichechemea.
MSIMAMO KWA SASA TIMU ZA JUU:
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
GF
|
PTS
|
1
|
Azam FC
|
25
|
17
|
8
|
0
|
35
|
50
|
59
|
2
|
Yanga
SC
|
25
|
16
|
7
|
2
|
42
|
60
|
55
|
3
|
Mbeya
City
|
25
|
12
|
10
|
3
|
12
|
31
|
46
|
4
|
Simba
SC
|
25
|
9
|
10
|
6
|
14
|
40
|
37
|
1965 Simba SC
1966 Simba SC
1967 Cosmopolitan
1968 Young Africans
1969 Young Africans
1970 Young Africans
1971 Young Africans
1972 Young Africans
1973 Simba SC
1974 Young Africans
1975 Mseto SC
1976 Simba SC
1977 Simba SC
1978 Simba SC
1979 Simba SC
1980 Simba SC
1981 Young Africans
1982 Pan Africans
1983 Young Africans
1984 Simba SC
1985 Young Africans
1986 Tukuyu Stars
1987 Young Africans
1988 Coastal Union
1989 Young Africans
1990 Simba SC
1991 Young Africans
1992 Young Africans
1993 Young Africans
1994 Simba SC
1995 Simba SC
1996 Young Africans
1997 Young Africans
1998 Young Africans
1999 Mtibwa Sugar
2000 Mtibwa Sugar
2001 Simba SC
2002 Young Africans
2003 Simba SC
2004 Simba SC
2005 Young Africans
2006 Young Africans
2007 Simba SC
2007/08 Young Africans
2008/09 Young Africans
2009/2010 Simba SC
2010/2011 Young Africans
2011/2012 Simba SC
2012/2013 Young Africans
No comments:
Post a Comment